Harusi hii ' simpo' kabisa niliikuta kijijini Chala, Nkasi, Sumbawanga mwaka 2008. Bwana na Bibi harusi walikwenda kanisani kwa miguu. Baada ya ndoa kufungwa taratibu wakarudi nyumbani kwa miguu. Ndugu, jamaa na marafiki walijumuika kwa furaha kubwa. Je, hapo pichani mnaweza kumwona Bi Harusi? Naam. Sumbawanga kuna mambo!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment