Thursday, April 28, 2011

JK; " Jamani Rostam Mmemwona?......"

Ni wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka jana. Mjini Igunga katika viwanja vya Sabasaba. Mbele ya maelfu ya wakazi wa Igunga na vitongoji vyake waliofurika katika mkutano  wa kampeni. Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Mrisho Kikwete alisika akimnadi Rostam Azizi mgombea ubunge jimbo la Igunga kwa maneno yafuatayo. "Jamani Rostam mmemwaona......."?   Watu.. Ndiyooooo... (Maelezo na Picha:Victor Makinda)

No comments:

Post a Comment