Friday, April 29, 2011

Vodacom Wadhamini Tena Vodacom Miss Tanzania 2011

Mratibu wa mashindano ya Miss Tanzania Hashim Lundenga akifafanua jambo katika semina ya waandishi wa Habari inayofanyika katika hoteli ya Paradise jijini Dar es Salaam, semina hiyo inahusu masuala ya ushiriki wa mashindano la kumpata mrembo wa Tanzania kwa mwaka 2011 ambapo kwa mara nyingine tena Vodacom wamejitokeza kudhamini mashindano hayo mwaka huu kuanzia ngazi ya vitongoji.

 Waandishi wa Habari wakiwa katika Semina hiyo inayoendelea katika hoteli ya Paradise jijini Dar es Salaam. (Picha:Mjengwablog)

No comments:

Post a Comment