Thursday, April 28, 2011

Msamaria Mwema Anataka Kumsaidia Yohana...


Kaka mjengwa.

Ni matumanini yangu u mzima.

Niliona tangazo la kaka Yohana kwenye blog yako likanigusa baada kusoma.
Nimesha wasiliana na mwenye baskeli hapa ingawa ni baskeli ya used na Ijumaa hii nakwenda kuiona naamini iko kwenye hali nzuri na itamsaidia kaka Yohana.

Mimi ntakuwa nyumbani Tanzania June 3, na nitawasili na ndege ya QATAR. Ningeomba kama kuna njia yeyote ili niweze kupitisha baskeli pale airport bila kutozwa ushuru mkubwa ningeshukuru.

Mdau,
Canada.

Mdau

No comments:

Post a Comment