Msururu wa wapenzi wa nyimbo za Injili wakiwa wanapigania kuingia ndani ya ukumbi wa Diomond Jubilee jana wakati wa Tamasha la Pasaka. Kutokana na idadi kubwa ya mashabiki na ukumbini, mashabiki wengi walishindwa kuingia hali iliyopelekea kuzuka patashiki baina ya mashabiki na askari waliokuwa wakilinda usalama.Mashabiki wakidai kurudishiwa pesa za viingilio. Katika tamasha hilo lililoandaliwa na Misama Promotion mgeni rasmi alikuwa Rais Jakaya Kikwete. |
No comments:
Post a Comment