Friday, April 29, 2011

Wauzaji Nyota SBC Wazawadiwa

Avinash mmoja kati ya wakurugenzi wa kampuni ya  SBC wazalishaji wa vinywaji baridi vya Pepsi akielezea jambo kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo katika ukumbi wa New Africa jana usiku wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo kwa wauzaji nyota wa bidhaa za Pepsi kutoka kanda zote za Tanzania.

Ansgar Mnywele ambaye ni  Accounts Development Representative (ADR) kutoka kiwanda cha Pepsi Mbeya akipokea cheti cha utambulisho wa uuzaji nyota wa bidhaa za Pepsi jana jioni katika Hoteli ya New Afrika


Vedast Mgalla  Teritory Development Manager (TDM) kutoka kiwanda cha Mbeya akipokea cheti cha utambulisho wa uuzaji nyota( Sales Star) wa Bidhaa za Pepsi.

Da' Safina mwimbaji wa Bendi ya Kalunde alitoa burudanui kabambe iliyowaburudisha wafanyakazi wa Pepsi na wageni waalikwa.

Wadau wa Pepsi wakisereebuka

Timu ya mauzo na baadhi ya viongozi wa kampuni ya SBC Tanzania katika picha ya pamoja baada ya kutolewa tuzo za wauzaji nyota wa bidhaa za Pepsi. Picha zote:Mjengwablog)

No comments:

Post a Comment