| Vedast Mgalla Teritory Development Manager (TDM) kutoka kiwanda cha Mbeya akipokea cheti cha utambulisho wa uuzaji nyota( Sales Star) wa Bidhaa za Pepsi. |
| Da' Safina mwimbaji wa Bendi ya Kalunde alitoa burudanui kabambe iliyowaburudisha wafanyakazi wa Pepsi na wageni waalikwa. |
| Wadau wa Pepsi wakisereebuka |
| Timu ya mauzo na baadhi ya viongozi wa kampuni ya SBC Tanzania katika picha ya pamoja baada ya kutolewa tuzo za wauzaji nyota wa bidhaa za Pepsi. Picha zote:Mjengwablog) |
No comments:
Post a Comment